Swali: Ni sawa kwa mtu kupenyeza kati ya safu mbali na siku ya ijumaa?
Jibu: Si sahihi kupenyeza kati ya safu. Ni mamoja siku ya ijumaa au siku nyenginezo. Ni maudhi. Isipokuwa kukiwa upenyo ndio mtu anatakiwa kuuziba. Wale ambao hawakuziba upenyo huu ndio ambao wameacha kufanya hivo. Kwa hivyo inakuwa ni dharurah ya kuuziba.adabu
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (07) http://dl.islamweb.net/audiopath/audio/lecturs/aalrrajhee/434/434.mp3
- Imechapishwa: 22/12/2018
Swali: Ni sawa kwa mtu kupenyeza kati ya safu mbali na siku ya ijumaa?
Jibu: Si sahihi kupenyeza kati ya safu. Ni mamoja siku ya ijumaa au siku nyenginezo. Ni maudhi. Isipokuwa kukiwa upenyo ndio mtu anatakiwa kuuziba. Wale ambao hawakuziba upenyo huu ndio ambao wameacha kufanya hivo. Kwa hivyo inakuwa ni dharurah ya kuuziba.adabu
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (07) http://dl.islamweb.net/audiopath/audio/lecturs/aalrrajhee/434/434.mp3
Imechapishwa: 22/12/2018
https://firqatunnajia.com/makatazo-ya-kujipenyeza-kati-ya-watu-ili-kwenda-safu-za-mbele/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)