Swali: Inajuzu kuwaacha manaswara na waabudu mizimu kujenga makanisa na mahekalu katika miji ya waislamu?
Jibu: Haijuzu kuwaacha wakafanya hivo katika miji ya waislamu. Haijuzu. Lakini makanisa yao ya kale yaachwe mpaka pale yatapobomoka. Baada ya hapo yasijengwe tena. Yakibomoka yasijengwe tena katika miji ya waislamu.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (58) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/15-01-1438-ighastat.mp3
- Imechapishwa: 22/10/2017
Swali: Inajuzu kuwaacha manaswara na waabudu mizimu kujenga makanisa na mahekalu katika miji ya waislamu?
Jibu: Haijuzu kuwaacha wakafanya hivo katika miji ya waislamu. Haijuzu. Lakini makanisa yao ya kale yaachwe mpaka pale yatapobomoka. Baada ya hapo yasijengwe tena. Yakibomoka yasijengwe tena katika miji ya waislamu.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (58) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/15-01-1438-ighastat.mp3
Imechapishwa: 22/10/2017
https://firqatunnajia.com/makanisa-na-mahekalu-yasijengwe-katika-miji-ya-waislamu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)