Swali: Je, inafaa kuwaruhusu manaswara, mayahudi au makafiri wengine kuingia ndani ya msikiti kuja kutembea?
Jibu: Hapana ubaya kwa kafiri kuingia msikitini ikiwa ni kwa lengo linalokubalika katika Shari´ah au jambo linaloruhusiwa. Kwa mfano akaingia kwa ajili ya kusikiliza mawaidha, kunywa maji na mfano wa hayo. Kwa sababu Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) baadhi ya wajumbe wa kikafiri aliwaacha watue ndani ya msikiti wake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ili wawaone waswaliji, wasikilize kisomo na Khutbah yake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Lengo lengine alikuwa anataka kuwalingania kwa ukaribu. Isitoshe (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alimfungamanisha Thumaamah bin Athaal msikitini alipoletwa kwake kama mteka. Baadaye ndipo Allaah akamwongoza na akasilimu.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (08/356)
- Imechapishwa: 25/06/2021
Swali: Je, inafaa kuwaruhusu manaswara, mayahudi au makafiri wengine kuingia ndani ya msikiti kuja kutembea?
Jibu: Hapana ubaya kwa kafiri kuingia msikitini ikiwa ni kwa lengo linalokubalika katika Shari´ah au jambo linaloruhusiwa. Kwa mfano akaingia kwa ajili ya kusikiliza mawaidha, kunywa maji na mfano wa hayo. Kwa sababu Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) baadhi ya wajumbe wa kikafiri aliwaacha watue ndani ya msikiti wake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ili wawaone waswaliji, wasikilize kisomo na Khutbah yake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Lengo lengine alikuwa anataka kuwalingania kwa ukaribu. Isitoshe (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alimfungamanisha Thumaamah bin Athaal msikitini alipoletwa kwake kama mteka. Baadaye ndipo Allaah akamwongoza na akasilimu.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (08/356)
Imechapishwa: 25/06/2021
https://firqatunnajia.com/makafiri-kuingia-msikitini/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)