Swali: Kuna magazeti mengi yanayokuwa na majina ya Allaah (´Azza wa Jall) na wakati tunapopita barabarani na kuyaona tunajihisi vibaya. Wakati mwingne tunayachukua na wakati mwingine kwenye barabara hiyo hiyo kunakuwa wanaume na hivyo tunapita na kuyaacha chini. Je, tunapata dhambi kwa hilo?
Jibu: Ndio. Unapoona Jina la Allaah, Aayah katika Qur-aan au Hadiyth ya Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) kwenye barabara ni wajibu kwako kuinyanyua. Ima iweke sehemu ambayo ni safi au ichome moto. Usiiache ikachafuliwa na kutwezwa.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/al_makruf%201-10-08-1433.mp3
- Imechapishwa: 24/09/2020
Swali: Kuna magazeti mengi yanayokuwa na majina ya Allaah (´Azza wa Jall) na wakati tunapopita barabarani na kuyaona tunajihisi vibaya. Wakati mwingne tunayachukua na wakati mwingine kwenye barabara hiyo hiyo kunakuwa wanaume na hivyo tunapita na kuyaacha chini. Je, tunapata dhambi kwa hilo?
Jibu: Ndio. Unapoona Jina la Allaah, Aayah katika Qur-aan au Hadiyth ya Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) kwenye barabara ni wajibu kwako kuinyanyua. Ima iweke sehemu ambayo ni safi au ichome moto. Usiiache ikachafuliwa na kutwezwa.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/al_makruf%201-10-08-1433.mp3
Imechapishwa: 24/09/2020
https://firqatunnajia.com/majina-ya-allaah-yanayokuwa-chini-kwenye-barabara-na-magazeti/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)