Swali: Je, mwanaume akiingiza mikono yake ndani ya maji inafaa kuyatumia au hapana?
Jibu: Hayanajisiki kwa kufanya hivo. Bali inafaa kuyatumia kwa mujibu wa wanachuoni wote kama mfano wa Maalik, Abu Haniyfah, ash-Shaafi´iy na Ahmad. Ahmad ana mapokezi mengine ambapo anasema kuwa bado ni yenye kuendelea kutumiwa. Allaah (Subhaanahu wa Ta´ala) ndiye mjuzi zaidi.
- Mhusika: Shaykh-ul-Islaam Ahmad bin Taymiyyah
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (21/46)
- Imechapishwa: 19/11/2017
Swali: Je, mwanaume akiingiza mikono yake ndani ya maji inafaa kuyatumia au hapana?
Jibu: Hayanajisiki kwa kufanya hivo. Bali inafaa kuyatumia kwa mujibu wa wanachuoni wote kama mfano wa Maalik, Abu Haniyfah, ash-Shaafi´iy na Ahmad. Ahmad ana mapokezi mengine ambapo anasema kuwa bado ni yenye kuendelea kutumiwa. Allaah (Subhaanahu wa Ta´ala) ndiye mjuzi zaidi.
Mhusika: Shaykh-ul-Islaam Ahmad bin Taymiyyah
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (21/46)
Imechapishwa: 19/11/2017
https://firqatunnajia.com/maji-yananajisika-kwa-kuingiza-mikono-ndani-yake/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)