Swali 108: Kuna mtu ameacha anausia kuweka kuba juu ya kaburi lake. Je, wasia wake utekelezwe?
Jibu: Wasia wake usitekelezwe. Ni wasia batili. Ni mwenye kupata dhambi. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Mwenye kuzua katika amri yetu hii yasiyokuwemo basi atarudishiwa mwenyewe.”
- Mhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ijaabatu as-Saa-il, uk. 119
- Imechapishwa: 28/09/2019
Swali 108: Kuna mtu ameacha anausia kuweka kuba juu ya kaburi lake. Je, wasia wake utekelezwe?
Jibu: Wasia wake usitekelezwe. Ni wasia batili. Ni mwenye kupata dhambi. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Mwenye kuzua katika amri yetu hii yasiyokuwemo basi atarudishiwa mwenyewe.”
Mhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ijaabatu as-Saa-il, uk. 119
Imechapishwa: 28/09/2019
https://firqatunnajia.com/maiti-ameacha-anausiwa-kujengewa-kuba/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)