Swali: Kuna baadhi ya magazeti yanayoenea picha za wanawake walio uchi au makala yanayoupiga vita Uislamu. Je, inajuzu kuyauza?
Jibu: Haijuzu. Bali ni wajibu kuyachana. Magazeti ambayo ndani yake kuna mambo ya nyuchi, picha zinazofanana na mambo ya nyuchi, au vitabu vinavyoitia mashaka dini au vitabu vya Ahl-ul-Bid´ah, vyote hivi ni wajibu kuvichana na kuvichoma. Haijuzu kuviuza. Isipokuwa kama mtu ataviuza kwa sababu ya kutaka kukemea, kuwafikishia wahusika au kuwaraddi wazushi. Katika hali hii ni sawa. Hili linamuhusu yule mwanafunzi.
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (02) http://audio2.islamweb.net/lecturs/aalrrajhee/429/429.mp3
- Imechapishwa: 04/03/2018
Swali: Kuna baadhi ya magazeti yanayoenea picha za wanawake walio uchi au makala yanayoupiga vita Uislamu. Je, inajuzu kuyauza?
Jibu: Haijuzu. Bali ni wajibu kuyachana. Magazeti ambayo ndani yake kuna mambo ya nyuchi, picha zinazofanana na mambo ya nyuchi, au vitabu vinavyoitia mashaka dini au vitabu vya Ahl-ul-Bid´ah, vyote hivi ni wajibu kuvichana na kuvichoma. Haijuzu kuviuza. Isipokuwa kama mtu ataviuza kwa sababu ya kutaka kukemea, kuwafikishia wahusika au kuwaraddi wazushi. Katika hali hii ni sawa. Hili linamuhusu yule mwanafunzi.
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (02) http://audio2.islamweb.net/lecturs/aalrrajhee/429/429.mp3
Imechapishwa: 04/03/2018
https://firqatunnajia.com/magazeti-na-makala-zinazoeneza-picha-za-wanawake-walio-uchi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)