Swali: Katika hizi siku kumi za mwisho kunaenezwa nyujumbe kwa njia ya simu zinazosema kwamba watu wameota usiku wa Qadr. Unasemaje juu ya hilo?
Jibu: Nyuma ya simu wamejificha watu madajali. Wanachotaka ni kuwashawishi watu. Usikubali kitu chochote kutoka katika simu. Elimu ipo. Wanachuoni wapo. Vitabu aminifu vipo. Tunarejea huko. Kuhusu madajali hawa ambao wamejificha nyuma ya simu malengo yao ni kutaka kuwapotosha watu na kuwashughulisha watu na mambo haya.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/node/13445
- Imechapishwa: 14/05/2020
Swali: Katika hizi siku kumi za mwisho kunaenezwa nyujumbe kwa njia ya simu zinazosema kwamba watu wameota usiku wa Qadr. Unasemaje juu ya hilo?
Jibu: Nyuma ya simu wamejificha watu madajali. Wanachotaka ni kuwashawishi watu. Usikubali kitu chochote kutoka katika simu. Elimu ipo. Wanachuoni wapo. Vitabu aminifu vipo. Tunarejea huko. Kuhusu madajali hawa ambao wamejificha nyuma ya simu malengo yao ni kutaka kuwapotosha watu na kuwashughulisha watu na mambo haya.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/node/13445
Imechapishwa: 14/05/2020
https://firqatunnajia.com/madajali-nyuma-ya-simu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)