Swali: Ni ipi hukumu mtu akiswali nyumbani kwake na maeneo anaposwali kukawa kuna majarida au magazeti yaliyo na picha zinazoonekana juu ya madawati, mazuliwa na mfano wake?
Jibu: Kilicho cha lazima kwa muislamu ni yeye kuswali mkusanyiko msikitini na wala asiswali peke yake au nyumbani kwake isipokuwa kutokana na udhuru unaokubalika katika Shari´ah unaomjuzishia yeye kufanya hivo. Inachukiza kuzielekea picha na kuswali mahali kulipo na picha zilizotundikwa juu ya ukuta. Ikiwa picha zimetandikwa chini basi ni zenye kutwezwa.
´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
´Abdul-´Aziyz Aalus-Shaykh
´Abdullaah bin Ghudayyaan
Swaalih al-Fawzaan
Bakr Abu Zayd
- Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Lajnah ad-Daaimah (20583)
- Imechapishwa: 14/05/2022
Swali: Ni ipi hukumu mtu akiswali nyumbani kwake na maeneo anaposwali kukawa kuna majarida au magazeti yaliyo na picha zinazoonekana juu ya madawati, mazuliwa na mfano wake?
Jibu: Kilicho cha lazima kwa muislamu ni yeye kuswali mkusanyiko msikitini na wala asiswali peke yake au nyumbani kwake isipokuwa kutokana na udhuru unaokubalika katika Shari´ah unaomjuzishia yeye kufanya hivo. Inachukiza kuzielekea picha na kuswali mahali kulipo na picha zilizotundikwa juu ya ukuta. Ikiwa picha zimetandikwa chini basi ni zenye kutwezwa.
´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
´Abdul-´Aziyz Aalus-Shaykh
´Abdullaah bin Ghudayyaan
Swaalih al-Fawzaan
Bakr Abu Zayd
Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Lajnah ad-Daaimah (20583)
Imechapishwa: 14/05/2022
https://firqatunnajia.com/machukizo-ya-kuswali-maeneo-palipo-na-picha/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)