Swali: Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa anakusudia nini wakati alipomkataza mwanamke kuvua nguo zake nje ya nyumbani kwake? Inafaa kwa mwanamke ambaye siku zote amelazimiana na Hijaab kutoka na kwenda katika nyumba za starehe za wanawake kuogelea na wanawake wenzake kuvua nguo zake?
Jibu: Mwanamke haifai kwake kuogelea na wanawake. Haitakiwi kwa wanawake kutazamana wakati wanapoogelea. Ni fitina. Fitina inatokea kwa wanawake kati yao. Haijuzu jambo hili. Anaweza tu kuogelea katika pahala patupu. Hata hivyo mabwawa ya wanawake hayajuzu. Yana fitina, ukosefu wa haya na makatazo mengine.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (01) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/omdh–14340126_0.mp3
- Imechapishwa: 25/08/2020
Swali: Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa anakusudia nini wakati alipomkataza mwanamke kuvua nguo zake nje ya nyumbani kwake? Inafaa kwa mwanamke ambaye siku zote amelazimiana na Hijaab kutoka na kwenda katika nyumba za starehe za wanawake kuogelea na wanawake wenzake kuvua nguo zake?
Jibu: Mwanamke haifai kwake kuogelea na wanawake. Haitakiwi kwa wanawake kutazamana wakati wanapoogelea. Ni fitina. Fitina inatokea kwa wanawake kati yao. Haijuzu jambo hili. Anaweza tu kuogelea katika pahala patupu. Hata hivyo mabwawa ya wanawake hayajuzu. Yana fitina, ukosefu wa haya na makatazo mengine.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (01) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/omdh–14340126_0.mp3
Imechapishwa: 25/08/2020
https://firqatunnajia.com/mabwawa-ya-wanawake/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)