Swali: Yapi maoni yako kwa mwenye kushiriki katika maandamano dhidi ya mtawala ili astafidi?

Jibu: Maandamano siyo katika matendo ya waislamu, maandamano siyo katika matendo ya waislamu bali ni fitina. Hayajulikani ila katika miji ya ulaya na miji ya makafiri.

  • Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: http://www.youtube.com/watch?v=LwImfU_BWRs
  • Imechapishwa: 05/09/2020