Mzinifu aliyekwishaoa au kuolewa [Thayyib] ni yule ambaye ameoa kwa kufunga ndoa ilio sahihi. Huyu ndiye anayeitwa “Thayyib”. Ikishakuwa hivo, mtu hawezi kuwa “Thayyib” kwa sababu tu ya uzinzi, ndoa batili, ndoa ya Mut´ah na mfano wa hizo. Kishari´ah hazingatiwi kuwa ni Thayyib isipokuwa akifunga ndoa ambayo ni sahihi iliotimiza masharti yake.
Mtu Thayyib akizini damu yake inakuwa halali.
- Mhusika: Shaykh Swaalih bin ´Abdil-´Aziyz Aalush-Shaykh
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh al-Arba´iyn an-Nawawiyyah, uk. 228
- Imechapishwa: 16/05/2020
Mzinifu aliyekwishaoa au kuolewa [Thayyib] ni yule ambaye ameoa kwa kufunga ndoa ilio sahihi. Huyu ndiye anayeitwa “Thayyib”. Ikishakuwa hivo, mtu hawezi kuwa “Thayyib” kwa sababu tu ya uzinzi, ndoa batili, ndoa ya Mut´ah na mfano wa hizo. Kishari´ah hazingatiwi kuwa ni Thayyib isipokuwa akifunga ndoa ambayo ni sahihi iliotimiza masharti yake.
Mtu Thayyib akizini damu yake inakuwa halali.
Mhusika: Shaykh Swaalih bin ´Abdil-´Aziyz Aalush-Shaykh
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh al-Arba´iyn an-Nawawiyyah, uk. 228
Imechapishwa: 16/05/2020
https://firqatunnajia.com/maana-ya-neno-thayyib-na-hukumu-yake/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)