´Ibaadah ni neno lililojumuisha kila kile anachokipenda Allaah na kukiridhia, miogoni mwa maneno na vitendo, sawa vya dhahiri na vilivyojificha. Vilevile ni kila amri iliyoamrishwa au kukatazwa na Shari´ah. Kila amri iliyoamrishwa na Shari´ah, sawa ikiwa ni maamrisho kwa njia ya uwajibu au mapendekezo, basi ni wajibu kuitekeleza. Kila katazo lililokatazwa, sawa kwa njia ya uharamu au utakaso, ni lazima kujiepusha nalo. Hii ndio ´ibaadah. Ni kumtii Allaah na kumtakasia nia.
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajhiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Hidaayah ar-Rabbaaniyyah fiy Sharh al-´Aqiydah at-Twahaawiyyah (01/45)
- Imechapishwa: 07/06/2020
´Ibaadah ni neno lililojumuisha kila kile anachokipenda Allaah na kukiridhia, miogoni mwa maneno na vitendo, sawa vya dhahiri na vilivyojificha. Vilevile ni kila amri iliyoamrishwa au kukatazwa na Shari´ah. Kila amri iliyoamrishwa na Shari´ah, sawa ikiwa ni maamrisho kwa njia ya uwajibu au mapendekezo, basi ni wajibu kuitekeleza. Kila katazo lililokatazwa, sawa kwa njia ya uharamu au utakaso, ni lazima kujiepusha nalo. Hii ndio ´ibaadah. Ni kumtii Allaah na kumtakasia nia.
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajhiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Hidaayah ar-Rabbaaniyyah fiy Sharh al-´Aqiydah at-Twahaawiyyah (01/45)
Imechapishwa: 07/06/2020
https://firqatunnajia.com/maana-ya-neno-ibaadah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)