Swali: Nimfuate imamu ilihali anasoma Haram au nimsikilize tu?
Jibu: Msikilize na usimfuate kwa msahafu na ukabeba msahafu kama wanavyofanya baadhi watu. Kuangalia herufi kunawashughulisha na kuswali. Jengine ni kwamba hawafungi mikono wakati wa kusimama kwa kuwa amebeba msahafu na hivyo hawezi kufunga mikono yake miwili. Huku anaenda kinyume na Sunnah.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Duruus-ul-Haram http://www.alfawzan.af.org.sa/node/14759
- Imechapishwa: 28/06/2020
Swali: Nimfuate imamu ilihali anasoma Haram au nimsikilize tu?
Jibu: Msikilize na usimfuate kwa msahafu na ukabeba msahafu kama wanavyofanya baadhi watu. Kuangalia herufi kunawashughulisha na kuswali. Jengine ni kwamba hawafungi mikono wakati wa kusimama kwa kuwa amebeba msahafu na hivyo hawezi kufunga mikono yake miwili. Huku anaenda kinyume na Sunnah.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Duruus-ul-Haram http://www.alfawzan.af.org.sa/node/14759
Imechapishwa: 28/06/2020
https://firqatunnajia.com/maamuma-kubeba-msahafu-nyuma-ya-imamu-pasi-na-haja/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)