Swali: Kuna mtu amepatwa na maradhi ya uchawi na akawa hajui anachokisema na matokeo yake akamtaliki mke wake zaidi ya mara ishirini kisha baadaye hali yake ikaboreka na hivi sasa anataka kumrejea. Ni kipi kinachomlazimu?
Jibu: Haya yanarejeshwa kwenye vyombo vya Shari´ah ili kuthibitisha wakati alipotoa talaka kweli alikuwa amepoteza fahamu. Jambo hili linarejea kwa hakimu ambaye atahoji kuhusu maudhui haya. Je, alikuwa na fahamu wakati wa kutoa talaka au hakuwa na fahamu? Ni lazima lithibitishwe jambo hili.
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah Aalish-Shaykh
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://www.mufti.af.org.sa/ar/content/رجل-طلق-زوجته-عدة-طلقات-وهو-مسحور
- Imechapishwa: 18/06/2022
Swali: Kuna mtu amepatwa na maradhi ya uchawi na akawa hajui anachokisema na matokeo yake akamtaliki mke wake zaidi ya mara ishirini kisha baadaye hali yake ikaboreka na hivi sasa anataka kumrejea. Ni kipi kinachomlazimu?
Jibu: Haya yanarejeshwa kwenye vyombo vya Shari´ah ili kuthibitisha wakati alipotoa talaka kweli alikuwa amepoteza fahamu. Jambo hili linarejea kwa hakimu ambaye atahoji kuhusu maudhui haya. Je, alikuwa na fahamu wakati wa kutoa talaka au hakuwa na fahamu? Ni lazima lithibitishwe jambo hili.
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah Aalish-Shaykh
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://www.mufti.af.org.sa/ar/content/رجل-طلق-زوجته-عدة-طلقات-وهو-مسحور
Imechapishwa: 18/06/2022
https://firqatunnajia.com/lazima-kuthibitisha-kwa-hakimu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)