Swali: Je, Latwiyf ni katika Majina ya Allaah (´Azza wa Jalla)?
Jibu: Bila ya shaka Latwiyf ni katika Majina ya Allaah (´Azza wa Jalla):
وَهُوَ اللَّطِيفُ الْخَبِيرُ |
“Naye ni Al-Latwiyful-Khabiyr (Mwenye kudabiri mambo kwa utuvu – Mjuzi wa vilivyodhahiri na vilivyofichikana).” (06:103) |
اللَّـهُ لَطِيفٌ بِعِبَادِهِ |
“Allaah ni Latwiyfun (Mwenye kudabiri mambo kwa utuvu) kwa waja Wake.” (42:19) |
وَهُوَ اللَّطِيفُ الْخَبِيرُ |
“Na hali Yeye ni Al-Latwiyful-Khabiyr (Mwenye kudabiri mambo kwa utuvu – Mjuzi wa vilivyodhahiri na vilivyofichikana).” (67:14) |
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (29) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1431-6-2.mp3
- Imechapishwa: 15/11/2014
Swali: Je, Latwiyf ni katika Majina ya Allaah (´Azza wa Jalla)?
Jibu: Bila ya shaka Latwiyf ni katika Majina ya Allaah (´Azza wa Jalla):
وَهُوَ اللَّطِيفُ الْخَبِيرُ
“Naye ni Al-Latwiyful-Khabiyr (Mwenye kudabiri mambo kwa utuvu – Mjuzi wa vilivyodhahiri na vilivyofichikana).” (06:103)
اللَّـهُ لَطِيفٌ بِعِبَادِهِ
“Allaah ni Latwiyfun (Mwenye kudabiri mambo kwa utuvu) kwa waja Wake.” (42:19)
وَهُوَ اللَّطِيفُ الْخَبِيرُ
“Na hali Yeye ni Al-Latwiyful-Khabiyr (Mwenye kudabiri mambo kwa utuvu – Mjuzi wa vilivyodhahiri na vilivyofichikana).” (67:14)
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (29) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1431-6-2.mp3
Imechapishwa: 15/11/2014
https://firqatunnajia.com/latwiyf-ni-jina-la-allaah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)