Kuhusu kwenda sambamba na imamu ni jambo limechukizwa isipokuwa katika Takbiyrat-ul-Ihraam. Wanachuoni wametaja kwamba kwenda sambamba na imamu Takbiyrat-ul-Ihraam kunazuia kufungika kwa swalah na hivyo itamlazimu mswaliji kusubiri mpaka imamu amalize kuleta Takbiyrat-ul-Ihraam. Baada ya hapo ndio na yeye aseme “Allaahu Akbar”. Wamesema kwamba akisema “Allaahu Akbar” kabla ya imamu kumaliza kuleta Takbiyrat-ul-Ihraam, basi swalah yake haisihi.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Nuur ´alaad-Darb (20) http://binothaimeen.net/content/6841
- Imechapishwa: 25/09/2021
Kuhusu kwenda sambamba na imamu ni jambo limechukizwa isipokuwa katika Takbiyrat-ul-Ihraam. Wanachuoni wametaja kwamba kwenda sambamba na imamu Takbiyrat-ul-Ihraam kunazuia kufungika kwa swalah na hivyo itamlazimu mswaliji kusubiri mpaka imamu amalize kuleta Takbiyrat-ul-Ihraam. Baada ya hapo ndio na yeye aseme “Allaahu Akbar”. Wamesema kwamba akisema “Allaahu Akbar” kabla ya imamu kumaliza kuleta Takbiyrat-ul-Ihraam, basi swalah yake haisihi.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Nuur ´alaad-Darb (20) http://binothaimeen.net/content/6841
Imechapishwa: 25/09/2021
https://firqatunnajia.com/kwenda-sambamba-na-imamu-katika-takbiyr/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)