Swali: Nikiwa niko pamoja na mtoto wangu wa kiume mdogo na nilikuwa nataka kwenda kuyatembelea makaburi. Je, inafaa kwangu kuingia naye makaburini?

Jibu: Hakuna ubaya. Ikiwa unachelea juu yake na ukaenda naye ili umlinde hakuna neno.

  • Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (94) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/%D8%A5%D8%BA%D8%A7%D8%AB%D8%A9%20%D8%A7%D9%84%D9%84%D9%87%D9%81%D8%A7%D9%86-27-01-1440%D9%87%D9%80.mp3
  • Imechapishwa: 02/02/2019