Swali: Ni kwa nini walinganizi wa shirki wanaitwa “makhurafi”? Nini maana yake?
Jibu: Kwa sababu wanategemea mambo ya kikhurafi yasiyokuwa na asli. Wanaviegemeza vitu hivyo na ukhurafi. Ukhurafi ni vitu visivyokuwa na asli katika Qur-aan na Sunnah.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Qaa´idah Jaliylah fiyt-Tawassul wal-Wasiylah (44) http://alfawzan.af.org.sa/node/2150
- Imechapishwa: 06/09/2020
Swali: Ni kwa nini walinganizi wa shirki wanaitwa “makhurafi”? Nini maana yake?
Jibu: Kwa sababu wanategemea mambo ya kikhurafi yasiyokuwa na asli. Wanaviegemeza vitu hivyo na ukhurafi. Ukhurafi ni vitu visivyokuwa na asli katika Qur-aan na Sunnah.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Qaa´idah Jaliylah fiyt-Tawassul wal-Wasiylah (44) http://alfawzan.af.org.sa/node/2150
Imechapishwa: 06/09/2020
https://firqatunnajia.com/kwanini-walinganizi-wa-shirki-wanaitwa-makhurafi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)