Swali: Mke wangu ananishakia kuwa nitaoa mke mwingine na mimi nanuia hilo huko mbeleni. Je, inajuzu kwangu ili kujiepusha na khatari yake, yaani kwa kumwambia “Mke wangu, nikioa mwanamke mwingine asiyekuwa wewe nitakuwa nimemtaliki”?
Jibu: Wewe ndugu! Kwa nini ujifiche? Ukioa, Alhamdulillaah. Ikiwa umekamilisha sharti ya uadilifu, oa na si lazima umshauri kwanza. Hii ni haki yako.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/ar/node/10045
- Imechapishwa: 01/03/2018
Swali: Mke wangu ananishakia kuwa nitaoa mke mwingine na mimi nanuia hilo huko mbeleni. Je, inajuzu kwangu ili kujiepusha na khatari yake, yaani kwa kumwambia “Mke wangu, nikioa mwanamke mwingine asiyekuwa wewe nitakuwa nimemtaliki”?
Jibu: Wewe ndugu! Kwa nini ujifiche? Ukioa, Alhamdulillaah. Ikiwa umekamilisha sharti ya uadilifu, oa na si lazima umshauri kwanza. Hii ni haki yako.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/ar/node/10045
Imechapishwa: 01/03/2018
https://firqatunnajia.com/kwanini-unababaika-kuongeza-mke-ni-haki-yako/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)