Imaam at-Twahaawiy (Rahimahu Allaah) amesema:
“Tunaamini kufufuliwa, matendo kulipwa siku ya Qiyaamah, kiwanja, hesabu, kusoma madaftari, thawabu, adhabu, Njia (Swiraat) na mizani.”
Hii ndio ´Aqiydah ya Ahl-us-Sunnah wal-Jamaa´ah kuamini kufufuliwa, miili kurudishwa, matendo kulipwa, kiwanja na hesabu, kusoma madaftari, thawabu na adhabu, Njia na mizani. Asiyeamini kuwa Allaah ataifufua miili na kuzirusha roho ni kafiri kwa maafikiano ya waislamu.
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajhiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Hidaayah ar-Rabbaaniyyah fiy Sharh al-´Aqiydah at-Twahaawiyyah (02/636)
- Imechapishwa: 19/05/2020
Imaam at-Twahaawiy (Rahimahu Allaah) amesema:
“Tunaamini kufufuliwa, matendo kulipwa siku ya Qiyaamah, kiwanja, hesabu, kusoma madaftari, thawabu, adhabu, Njia (Swiraat) na mizani.”
Hii ndio ´Aqiydah ya Ahl-us-Sunnah wal-Jamaa´ah kuamini kufufuliwa, miili kurudishwa, matendo kulipwa, kiwanja na hesabu, kusoma madaftari, thawabu na adhabu, Njia na mizani. Asiyeamini kuwa Allaah ataifufua miili na kuzirusha roho ni kafiri kwa maafikiano ya waislamu.
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajhiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Hidaayah ar-Rabbaaniyyah fiy Sharh al-´Aqiydah at-Twahaawiyyah (02/636)
Imechapishwa: 19/05/2020
https://firqatunnajia.com/kwanini-asikufurishwe-asiyeamini-kuwa-watu-watafufuliwa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)