Swali: Kuna mtu ni muislamu kwa baba na mama lakini hata hivyo amekataa swalah, swawm na mambo mengine katika Shari´ah ya Allaah. Je, inajuzu kutangamana naye matangamano ya waislamu kwa mfano muislamu kula pamoja naye na mengineyo?
Jibu: Hali ya mtu huyu ikiwa ni hii uliyotaja, ya kukataa swalah, swawm na mambo mengine ya Shari´ah ya Uislamu, ni kafiri kufuru yenye kumtoa katika Uislamu kutokana na kauli sahihi katika kauli za wanachuoni. Anatakiwa kuambiwa kutubia kwa siku tatu, akitubu ni sawa, la sivyo mtawala wa waislamu amuue kama wanavyouawa wenye kuritadi.
Haijuzu kwa waislamu kumpenda, kumtembelea na kadhalika. Isipokuwa ikiwa kama itakuwa ni kwa lengo la kumnasihi na kumwelekeza na kumuadhisha. Huenda akatubu kwa Allaah (Subhaanah).
- Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa al-Lajnah ad-Daaimah (2/32)
- Imechapishwa: 24/08/2020
Swali: Kuna mtu ni muislamu kwa baba na mama lakini hata hivyo amekataa swalah, swawm na mambo mengine katika Shari´ah ya Allaah. Je, inajuzu kutangamana naye matangamano ya waislamu kwa mfano muislamu kula pamoja naye na mengineyo?
Jibu: Hali ya mtu huyu ikiwa ni hii uliyotaja, ya kukataa swalah, swawm na mambo mengine ya Shari´ah ya Uislamu, ni kafiri kufuru yenye kumtoa katika Uislamu kutokana na kauli sahihi katika kauli za wanachuoni. Anatakiwa kuambiwa kutubia kwa siku tatu, akitubu ni sawa, la sivyo mtawala wa waislamu amuue kama wanavyouawa wenye kuritadi.
Haijuzu kwa waislamu kumpenda, kumtembelea na kadhalika. Isipokuwa ikiwa kama itakuwa ni kwa lengo la kumnasihi na kumwelekeza na kumuadhisha. Huenda akatubu kwa Allaah (Subhaanah).
Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa al-Lajnah ad-Daaimah (2/32)
Imechapishwa: 24/08/2020
https://firqatunnajia.com/kwanini-asikufurishwe-aliyekanusha-mambo-ya-kishariah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)