Swali: Ni ipi hukumu ya mtu ambaye ameingia katika Uislamu punde tu akiomba uokozi kutoka kwa asiyekuwa Allaah au akaomba maiti pamoja na kujua kwamba anaishi mbali na wanachuoni?
Jibu: Ni mshirikina kwa kuwa amefanya shirki. Huyu ni mshirikina kwa kuwa amemfanyia ´ibaadah asiyekuwa Allaah. Lakini ni mwenye kupewa udhuru au si mwenye kupewa udhuru? Ikiwa hakusikia kuhusu Uislamu na wala hakujua basi atambue kuwa Allaah amesema:
وَمَا كُنَّا مُعَذِّبِينَ حَتَّىٰ نَبْعَثَ رَسُولًا
“Hatukuwa ni wenye kuadhibu mpaka Tupeleke Mtume.” (17:15)
Siku ya Qiyaamah atapewa mtihani. Kuna maandiko yamekuja kuonyesha kuwa wale ambao hawakufikia na Ujumbe watapewa mtihani.
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alharamain.gov.sa/AudioDir2/67848.mp3
- Imechapishwa: 20/08/2017
Swali: Ni ipi hukumu ya mtu ambaye ameingia katika Uislamu punde tu akiomba uokozi kutoka kwa asiyekuwa Allaah au akaomba maiti pamoja na kujua kwamba anaishi mbali na wanachuoni?
Jibu: Ni mshirikina kwa kuwa amefanya shirki. Huyu ni mshirikina kwa kuwa amemfanyia ´ibaadah asiyekuwa Allaah. Lakini ni mwenye kupewa udhuru au si mwenye kupewa udhuru? Ikiwa hakusikia kuhusu Uislamu na wala hakujua basi atambue kuwa Allaah amesema:
وَمَا كُنَّا مُعَذِّبِينَ حَتَّىٰ نَبْعَثَ رَسُولًا
“Hatukuwa ni wenye kuadhibu mpaka Tupeleke Mtume.” (17:15)
Siku ya Qiyaamah atapewa mtihani. Kuna maandiko yamekuja kuonyesha kuwa wale ambao hawakufikia na Ujumbe watapewa mtihani.
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.alharamain.gov.sa/AudioDir2/67848.mp3
Imechapishwa: 20/08/2017
https://firqatunnajia.com/kwa-vovyote-ni-mshirikina/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)