Swali: Ni ipi hukumu ya kukaa na kusikiliza Khutbah ya ´iyd na kuzungumza ndani yake?
Jibu: Imechukizwa kuzungumza wakati wa Khutbah na wakati wa darsa. Ama kuhusu [Khutbah ya] ijumaa imeharamishwa kuzungumza. `Iyd haikuharamishwa, bali hili limechukizwa.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (54) http://www.alfawzan.af.org.sa/node/13468
- Imechapishwa: 16/11/2014
Swali: Ni ipi hukumu ya kukaa na kusikiliza Khutbah ya ´iyd na kuzungumza ndani yake?
Jibu: Imechukizwa kuzungumza wakati wa Khutbah na wakati wa darsa. Ama kuhusu [Khutbah ya] ijumaa imeharamishwa kuzungumza. `Iyd haikuharamishwa, bali hili limechukizwa.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (54) http://www.alfawzan.af.org.sa/node/13468
Imechapishwa: 16/11/2014
https://firqatunnajia.com/kuzungumza-wakati-wa-khutbah-ya-idi__trashed/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)