Swali: Ni ipi hukumu ya kuzungumza baada ya kukimiwa swalah na kabla ya Takbiyrat-ul-Ihraam juu ya mambo yasiyohusiana na swalah kama kusawazisha safu na mengineyo au maneno yakahusiana na maisha ya kidunia?
Jibu: Kuzungumza baada ya kukimiwa swalah na kabla ya kuanza kuswali ikiwa yanahusiana na swalah kama mfano wa kusawazisha swalah na mfano wake ni kitu kinakubalika katika Shari´ah. Na kama hayahusiani na swalah basi bora ni kuacha kufanya hivo kwa ajili ya kujiandaa kuingia ndani ya swalah na kuitukuza.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (10/358)
- Imechapishwa: 20/09/2021
Swali: Ni ipi hukumu ya kuzungumza baada ya kukimiwa swalah na kabla ya Takbiyrat-ul-Ihraam juu ya mambo yasiyohusiana na swalah kama kusawazisha safu na mengineyo au maneno yakahusiana na maisha ya kidunia?
Jibu: Kuzungumza baada ya kukimiwa swalah na kabla ya kuanza kuswali ikiwa yanahusiana na swalah kama mfano wa kusawazisha swalah na mfano wake ni kitu kinakubalika katika Shari´ah. Na kama hayahusiani na swalah basi bora ni kuacha kufanya hivo kwa ajili ya kujiandaa kuingia ndani ya swalah na kuitukuza.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (10/358)
Imechapishwa: 20/09/2021
https://firqatunnajia.com/kuzungumza-baada-ya-iqaamah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)