Kuzunguma na mke kwa kutumia video camera

Swali: Je, inajuzu kuzungumza na mke wangu kwa njia ya simu au intaneti kwa sauti na picha kwa kutumia video camera?

Jibu: Kutumia video camera kuna haja gani? Ikiwa ni sauti tu hakuna neno sawa ikiwa utatumia simu au njia zingine za mawasiliano. Ama kuhusu picha ni haramu.

  • Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/eg–14340421.mp3
  • Imechapishwa: 20/09/2020