Swali: Inajuzu kwa muislamu kukata ndevu zake ili ncha ziwe sawa?
Jibu: Hapana. Ndevu zinaachwa kama zilivyo:
“Refusheni ndevu.”[1]
Bi maana ziacheni na wala msiguse kitu; si kwa kukata, kuchonga, kunyoa. Ndevu zinaachwa kama zilivyo.
[1] al-Bukhaariy (5892) na Muslim (259).
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (86) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/NEW.lite_.mp3
- Imechapishwa: 08/07/2018
Swali: Inajuzu kwa muislamu kukata ndevu zake ili ncha ziwe sawa?
Jibu: Hapana. Ndevu zinaachwa kama zilivyo:
“Refusheni ndevu.”[1]
Bi maana ziacheni na wala msiguse kitu; si kwa kukata, kuchonga, kunyoa. Ndevu zinaachwa kama zilivyo.
[1] al-Bukhaariy (5892) na Muslim (259).
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (86) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/NEW.lite_.mp3
Imechapishwa: 08/07/2018
https://firqatunnajia.com/kuziweka-ndevu-sawa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)