Swali: Kumepokelewa:
“Asiyejali mambo ya waislamu basi si katika wao.”
Ina maana kuwa mtu anatakiwa kufuatilia taarifa ya khabari kwenye vyombo vya khabari na kujua hali zao au ina maana nyingine?
Jibu: Mosi Hadiyth hii si Swahiyh. Wanachuoni wameizungumzia.
Pili kuyajali mambo ya waislamu hakukuwi namna hiyo. Kuyajali mambo ya waislamu ina maana ya kutatua matatizo. Matatizo yanatakiwa kutatuliwa. Haitoshi tu kuyatambua. Yule anayeweza kutatua matatizo ndio kuyajali mambo ya waislamu.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (42) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighastah%20%20-%2011%20-%201%20-%201437.mp3
- Imechapishwa: 14/03/2017
Swali: Kumepokelewa:
“Asiyejali mambo ya waislamu basi si katika wao.”
Ina maana kuwa mtu anatakiwa kufuatilia taarifa ya khabari kwenye vyombo vya khabari na kujua hali zao au ina maana nyingine?
Jibu: Mosi Hadiyth hii si Swahiyh. Wanachuoni wameizungumzia.
Pili kuyajali mambo ya waislamu hakukuwi namna hiyo. Kuyajali mambo ya waislamu ina maana ya kutatua matatizo. Matatizo yanatakiwa kutatuliwa. Haitoshi tu kuyatambua. Yule anayeweza kutatua matatizo ndio kuyajali mambo ya waislamu.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (42) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighastah%20%20-%2011%20-%201%20-%201437.mp3
Imechapishwa: 14/03/2017
https://firqatunnajia.com/kuyajali-mambo-ya-waislamu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)