Swali: Inafaa kwa anayefanya Ihraam kunywa chai na kahawa ilio na zafarani?
Jibu: Hapana, ajiepushe na zafarani. Inafaa kwake kunywa kahawa na chai ya kiarabu, lakini pasi na zafarani. Kwa sababu zafarani ni aina moja wapo ya manukato. Kadhalika inahusiana na nanaa kwa sababu ni aina fulani ya manukato.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (21) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Umdah-13-2-1435-01.mp3
- Imechapishwa: 02/02/2020
Swali: Inafaa kwa anayefanya Ihraam kunywa chai na kahawa ilio na zafarani?
Jibu: Hapana, ajiepushe na zafarani. Inafaa kwake kunywa kahawa na chai ya kiarabu, lakini pasi na zafarani. Kwa sababu zafarani ni aina moja wapo ya manukato. Kadhalika inahusiana na nanaa kwa sababu ni aina fulani ya manukato.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (21) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Umdah-13-2-1435-01.mp3
Imechapishwa: 02/02/2020
https://firqatunnajia.com/kuweka-zafarani-wakati-wa-ihraam/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)