Swali: Ni ipi hukumu ya mwenye kujifanyia mkati na kati baina yake yeye na Allaah? Lakini hata hivyo pasi na kumtekelezea kitu chochote katika ´ibaadah. Je, hii ni shirki ndogo?
Jibu: Hii ni Bid´ah na ni njia inayopelekea katika shirki.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Nawaaqidh-il-Islaam, uk. 78
- Imechapishwa: 21/09/2018
Swali: Ni ipi hukumu ya mwenye kujifanyia mkati na kati baina yake yeye na Allaah? Lakini hata hivyo pasi na kumtekelezea kitu chochote katika ´ibaadah. Je, hii ni shirki ndogo?
Jibu: Hii ni Bid´ah na ni njia inayopelekea katika shirki.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Nawaaqidh-il-Islaam, uk. 78
Imechapishwa: 21/09/2018
https://firqatunnajia.com/kuweka-mkatikati-bila-kumtekelezea-ibaadah-yoyote/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)