Swali: Ni yapi maoni yako kwa kitendo kinachofanywa na baadhi wanaweka kitambaa juu ya kaburi wakati wa kumshusha mwanamke ndani ya kaburi lake?
Jibu: Ndio. Kaburi la mwanamke lisitiriwe wakati wa kumshusha, sawa ikiwa ni kwa [kuweka] kitambaa au kitu kingine. Ama kuhusu mwanaume hakuna haja ya kuweka sitara.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (73) http://www.alfawzan.af.org.sa/node/14115
- Imechapishwa: 17/11/2014
Swali: Ni yapi maoni yako kwa kitendo kinachofanywa na baadhi wanaweka kitambaa juu ya kaburi wakati wa kumshusha mwanamke ndani ya kaburi lake?
Jibu: Ndio. Kaburi la mwanamke lisitiriwe wakati wa kumshusha, sawa ikiwa ni kwa [kuweka] kitambaa au kitu kingine. Ama kuhusu mwanaume hakuna haja ya kuweka sitara.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (73) http://www.alfawzan.af.org.sa/node/14115
Imechapishwa: 17/11/2014
https://firqatunnajia.com/kuweka-kitambaa-juu-wakati-wa-kumshusa-mwanamke-kwenye-kaburi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)