Swali: Ni ipi hukumu ya kuwavisha hirizi watoto au mgonjwa?
Jibu: Haijuzu kufanya hivo. Haijuzu kutundika hirizi. Mgonjwa anatakiwa kusomewa, maji yasomewe na amwagiwe, iandikwe Qur-aan na kutumbukizwa kwenye maji ambayo atayanywa. Hakuna neno. Yote haya ni kujitibu kwa Qur-aan.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (64) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/28-07-1438h-fathou.mp3
- Imechapishwa: 29/07/2017
Swali: Ni ipi hukumu ya kuwavisha hirizi watoto au mgonjwa?
Jibu: Haijuzu kufanya hivo. Haijuzu kutundika hirizi. Mgonjwa anatakiwa kusomewa, maji yasomewe na amwagiwe, iandikwe Qur-aan na kutumbukizwa kwenye maji ambayo atayanywa. Hakuna neno. Yote haya ni kujitibu kwa Qur-aan.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (64) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/28-07-1438h-fathou.mp3
Imechapishwa: 29/07/2017
https://firqatunnajia.com/kuwavisha-watoto-hirizi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)