Swali: Mchwa wamenisumbua ambapo nikamwaga maji ya moto mahali pale. Je, inafaa kwangu kufanya hivyo?
Jibu: Haijuzu kufanya hivo:
“Haifai kuadhibu kwa moto isipokuwa Mola aliyeumba huyo moto.”
Haifai kufanya hivo. Lakini tumia vitu ambavyo vitafanya mchwa kukukimbia pasi na kuwatia moto au kutumia maji yenye moto.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/ar/node/18361
- Imechapishwa: 09/07/2020
Swali: Mchwa wamenisumbua ambapo nikamwaga maji ya moto mahali pale. Je, inafaa kwangu kufanya hivyo?
Jibu: Haijuzu kufanya hivo:
“Haifai kuadhibu kwa moto isipokuwa Mola aliyeumba huyo moto.”
Haifai kufanya hivo. Lakini tumia vitu ambavyo vitafanya mchwa kukukimbia pasi na kuwatia moto au kutumia maji yenye moto.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/ar/node/18361
Imechapishwa: 09/07/2020
https://firqatunnajia.com/kuwaua-wadudu-wanaoudhi-kwa-moto/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)