Swali: Wadudu wanaokuweko nyumbani kama mfano wa sisimizi, mende na mfano wake – je, inafaa kuwaua kwa maji, kuwachoma au niwafanye kitu gani?
Jibu: Inafaa kuwaua wadudu hawa ikiwa wanaudhi. Lakini mtu asiwachome. Bali awaue kwa aina zingine za dawa. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Wanyama aina tano wote ni wachafu na wanauliwa katika Ihraam na nje ya Ihraam; nao ni kunguru, bundi, panya, nge na mbwa kichaa.”
Katika tamko lingine imekuja:
“… na nyoka.”
Hawa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ameeleza maudhi yao na kwamba ni wachafu. Kwa msemo mwingine wanaudhi na ameidhinisha kuwaua. Vivyo hivyo wadudu wengine mfano wake wanauliwa katika Ihraam na nje ya Ihraam wakileta maudhi. Mfano wa wadudu hao ni sisimizi, mende, mbu na wengineo wanaoudhi.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (05/298) https://binbaz.org.sa/fatwas/1089/%D8%AD%D9%83%D9%85-%D9%82%D8%AA%D9%84-%D8%A7%D9%84%D8%AD%D8%B4%D8%B1%D8%A7%D8%AA-%D9%85%D8%AB%D9%84-%D8%A7%D9%84%D9%86%D9%85%D9%84-%D9%88%D8%A7%D9%84%D8%B5%D8%B1%D8%A7%D8%B5%D9%8A%D8%B1
- Imechapishwa: 04/01/2020
Swali: Wadudu wanaokuweko nyumbani kama mfano wa sisimizi, mende na mfano wake – je, inafaa kuwaua kwa maji, kuwachoma au niwafanye kitu gani?
Jibu: Inafaa kuwaua wadudu hawa ikiwa wanaudhi. Lakini mtu asiwachome. Bali awaue kwa aina zingine za dawa. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Wanyama aina tano wote ni wachafu na wanauliwa katika Ihraam na nje ya Ihraam; nao ni kunguru, bundi, panya, nge na mbwa kichaa.”
Katika tamko lingine imekuja:
“… na nyoka.”
Hawa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ameeleza maudhi yao na kwamba ni wachafu. Kwa msemo mwingine wanaudhi na ameidhinisha kuwaua. Vivyo hivyo wadudu wengine mfano wake wanauliwa katika Ihraam na nje ya Ihraam wakileta maudhi. Mfano wa wadudu hao ni sisimizi, mende, mbu na wengineo wanaoudhi.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (05/298) https://binbaz.org.sa/fatwas/1089/%D8%AD%D9%83%D9%85-%D9%82%D8%AA%D9%84-%D8%A7%D9%84%D8%AD%D8%B4%D8%B1%D8%A7%D8%AA-%D9%85%D8%AB%D9%84-%D8%A7%D9%84%D9%86%D9%85%D9%84-%D9%88%D8%A7%D9%84%D8%B5%D8%B1%D8%A7%D8%B5%D9%8A%D8%B1
Imechapishwa: 04/01/2020
https://firqatunnajia.com/kuwaua-wadudu-na-wanyama-wenye-madhara-nyumbani/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)