Swali: Je, katika zama zetu hizi kuna Jarh na Ta´diyl kama ilivokuwa kwa wanachuoni wetu waliotangulia? Ni ipi hukumu kwa mwenye kusema kwamba leo hakuna Jarh na Ta´diyl, bali hili ni jambo ambalo limeisha kwa maimamu waliotangulia?

Jibu: Jarh na Ta´diyl ni katika elimu ya Hadiyth. Ama kuzungumza katika vikao na kuwatukana watu, huu ni usengenyaji na kueneza uvumi. Huku ni kujeruhi pasina kusifu. Haijuzu kufanya hivi.

  • Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (31) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1431-10-10.mp3
  • Imechapishwa: 15/11/2014