Kuwasifu makafiri katika maendeleo yao

Swali: Mtu kuzungumzia namna makafiri walivyoendelea kunazingatiwa ni katika kuwasaidia, jambo ambalo linachengua Uislamu wa mtu?

Jibu: Hakuzingatiwi kuwa ni katika kuchengua Uislamu. Lakini ni kuwasaidia makafiri na kuwasifu katika mambo ya dunia. Ama akiwa anawasifu katika mambo ya dini yao ni ukafiri na kuritadi. Lakini akiwasifu katika upande wa kuyapangilia mambo, kuipanga miji yao na kutilia kwao umuhimu mambo ya kidunia, haitakiwi kwake kuwasifu wala kuwatapa. Kwa sababu kunachelea kwake akawakweza. Hivyo asiwasifu makafiri.

  • Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Sharh Nawaaqidhl-il-Islaam (08) http://ajurry.com/safrawy/chorohat-elakida/chorohat-nawakid-elislam/charh-salah-fawzan/08.mp3
  • Imechapishwa: 14/02/2019