Swali: Ni ipi hukumu mume kuwaruhusu kuingia watu ambao sio Mahaarim wa mke wake?
Jibu: Hapana neno ikiwa hakuna kukaa chemba. Hata hivyo haifai ikiwa ni kukaa chemba. Ikiwa mwanamke huyo anakaa chemba na mmoja wao haifai. Lakini ikiwa ni ndugu zake…
Swali: Katika kikao maalum?
Jibu: Hapana neno. Ajisitiri vizuri kisha aingie. Anaweza vilevile kukaa maoneo mengine. Nakusudia kwamba anaweza kuwaruhusu mabinamu zake, jamaa zake au wakwe zake. Haina neno.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/21659/حكم-الاذن-بدخول-غير-المحارم-على-الزوجة
- Imechapishwa: 10/09/2022
Swali: Ni ipi hukumu mume kuwaruhusu kuingia watu ambao sio Mahaarim wa mke wake?
Jibu: Hapana neno ikiwa hakuna kukaa chemba. Hata hivyo haifai ikiwa ni kukaa chemba. Ikiwa mwanamke huyo anakaa chemba na mmoja wao haifai. Lakini ikiwa ni ndugu zake…
Swali: Katika kikao maalum?
Jibu: Hapana neno. Ajisitiri vizuri kisha aingie. Anaweza vilevile kukaa maoneo mengine. Nakusudia kwamba anaweza kuwaruhusu mabinamu zake, jamaa zake au wakwe zake. Haina neno.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/21659/حكم-الاذن-بدخول-غير-المحارم-على-الزوجة
Imechapishwa: 10/09/2022
https://firqatunnajia.com/kuwaruhusu-wasiokuwa-mahaarim-kuingia-alipo-mke/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)