Swali: Kupigana vita dhidi ya Raafidhwah inazingatiwa kuwa ni Jihaad katika njia ya Allaah?
Jibu: Ndugu! Yule anayewafanyia uadui waislamu ijapo ataswali usiku na mchana, vita dhidi yake inazingatiwa ni Jihaad katika njia ya Allaah ili kuzuia shari yake. Kwa ajili hiyo Maswahabah ndio maana waliwapiga vita Khawaarij, waasi na wakata njia ilihali ni Waislamu. Kumfanyia Jihaad mrukaji mipaka hii ni Jihaad katika njia ya Allaah (´Azza wa Jall) hata kama itakuwa [anayefanyiwa Jihaad hiyo] ni katika watu bora kabisa.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (12) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1431-1-17.mp3
- Imechapishwa: 11/11/2014
Jibu: Ndugu! Yule anayewafanyia uadui waislamu ijapo ataswali usiku na mchana, vita dhidi yake inazingatiwa ni Jihaad katika njia ya Allaah ili kuzuia shari yake. Kwa ajili hiyo Maswahabah ndio maana waliwapiga vita Khawaarij, waasi na wakata njia ilihali ni Waislamu. Kumfanyia Jihaad mrukaji mipaka hii ni Jihaad katika njia ya Allaah (´Azza wa Jall) hata kama itakuwa [anayefanyiwa Jihaad hiyo] ni katika watu bora kabisa.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (12) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1431-1-17.mp3
Imechapishwa: 11/11/2014
http://firqatunnajia.com/kuwapiga-vita-shiyah-wanaowadhuru-waislamu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)