Swali: Ni zipi nasaha zako kwa wazazi juu ya watoto wao kuwa likizo kuhusiana na mizunguko kielimu ya pamoja na vituo vya majira ya joto?
Jibu: Nawanasihi wazazi wamche Allaah (´Azza wa Jall) juu ya yale majukumu ya watoto wa kiume na wa kike ambayo Allaah amewabebesha. Wanatakiwa kuwachunga sana na watazame ni wapi waendapi na ni wapi watokapo. Hakika wazazi wataulizwa juu yao siku ya Qiyaamah.
Kuhusu vituo vya majira ya joto na mizunguko ya kuhifadhi Qur-aan, basi mimi nawashauri wasimamizi wawapeleke watoto wao huko ili kule kuwa na faragha kusije kuwaangamiza kinafsi, kifikira na kimwili. Huenda faragha hii ikawapelekea katika mambo ambayo matokeo yake hayatakuwa mazuri.
Kwa hivyo nasaha zangu kwa wasimamizi wawapeleke watoto wao katika vituo vya kuhifadhisha Qur-aan au katika vituo vya majira ya joto.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Liqaa’ ash-Shahriy (36) http://binothaimeen.net/content/810
- Imechapishwa: 15/02/2018
Swali: Ni zipi nasaha zako kwa wazazi juu ya watoto wao kuwa likizo kuhusiana na mizunguko kielimu ya pamoja na vituo vya majira ya joto?
Jibu: Nawanasihi wazazi wamche Allaah (´Azza wa Jall) juu ya yale majukumu ya watoto wa kiume na wa kike ambayo Allaah amewabebesha. Wanatakiwa kuwachunga sana na watazame ni wapi waendapi na ni wapi watokapo. Hakika wazazi wataulizwa juu yao siku ya Qiyaamah.
Kuhusu vituo vya majira ya joto na mizunguko ya kuhifadhi Qur-aan, basi mimi nawashauri wasimamizi wawapeleke watoto wao huko ili kule kuwa na faragha kusije kuwaangamiza kinafsi, kifikira na kimwili. Huenda faragha hii ikawapelekea katika mambo ambayo matokeo yake hayatakuwa mazuri.
Kwa hivyo nasaha zangu kwa wasimamizi wawapeleke watoto wao katika vituo vya kuhifadhisha Qur-aan au katika vituo vya majira ya joto.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Liqaa’ ash-Shahriy (36) http://binothaimeen.net/content/810
Imechapishwa: 15/02/2018
https://firqatunnajia.com/kuwapeleka-watoto-katika-mizunguko-ya-kielimu-na-vituo-vya-kuhifadhi-qur-aan-wakati-wa-likizo/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)