Swali: Inajuzu kumpa zakaah ndugu fakiri ambaye mshahara wake uko chini ya mshahara wangu?
Jibu: Ikiwa ndugu huyu fakiri mshahara wake haumtoshelezi juu ya familia yake, basi hakuna neno kumpa zakaah yako. Bali kuwapa zakaah ndugu ambao wanastahiki ambao mtu hawajibiki kuwahudumia ndio bora kuliko kuwapa watu wa mbali. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Swadaqah yako kuwapa ndugu inahesabika ni swadaqah na kuunga udugu.”
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Liqaa’ ash-Shahriy (44) http://binothaimeen.net/content/1020
- Imechapishwa: 21/02/2019
Swali: Inajuzu kumpa zakaah ndugu fakiri ambaye mshahara wake uko chini ya mshahara wangu?
Jibu: Ikiwa ndugu huyu fakiri mshahara wake haumtoshelezi juu ya familia yake, basi hakuna neno kumpa zakaah yako. Bali kuwapa zakaah ndugu ambao wanastahiki ambao mtu hawajibiki kuwahudumia ndio bora kuliko kuwapa watu wa mbali. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Swadaqah yako kuwapa ndugu inahesabika ni swadaqah na kuunga udugu.”
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Liqaa’ ash-Shahriy (44) http://binothaimeen.net/content/1020
Imechapishwa: 21/02/2019
https://firqatunnajia.com/kuwapa-zakaah-ndugu-mafakiri/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)