Swali: Ni ipi hukumu ya kuwapa makafiri pesa au zawadi kwa ajili ya kuwavutia katika Uislamu?
Jibu: Hakuna neno kuwapa zawadi na pesa au kuishi naye katika nyumba moja kwa ajili ya kumvuta katika Uislamu. Lakini inapaswa kuzingatiwa uvutiaji ni lazima uwe muhimu kwa njia ya kwamba yule anayevutwa ni miongoni mwa watu ambao kuna matarajio juu ya wao kusilimu. Ama wakiwa ni miongoni mwa wale vigogo wa ukafiri ambao hakuna matarajio juu ya kusilimu kwao basi hawapewi kitu isipokuwa kama wanapewa kwa ajili ya kuzuia madhara yao.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (18/372)
- Imechapishwa: 07/05/2021
Swali: Ni ipi hukumu ya kuwapa makafiri pesa au zawadi kwa ajili ya kuwavutia katika Uislamu?
Jibu: Hakuna neno kuwapa zawadi na pesa au kuishi naye katika nyumba moja kwa ajili ya kumvuta katika Uislamu. Lakini inapaswa kuzingatiwa uvutiaji ni lazima uwe muhimu kwa njia ya kwamba yule anayevutwa ni miongoni mwa watu ambao kuna matarajio juu ya wao kusilimu. Ama wakiwa ni miongoni mwa wale vigogo wa ukafiri ambao hakuna matarajio juu ya kusilimu kwao basi hawapewi kitu isipokuwa kama wanapewa kwa ajili ya kuzuia madhara yao.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (18/372)
Imechapishwa: 07/05/2021
https://firqatunnajia.com/kuwapa-makafiri-zakaah-na-zawadi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)