Swali: Mtu akienda kwa aliyemo ndani ya kaburi na kumuomba amuombee kwa Allaah inazingatiwa kuwa ni shirki? Baadhi ya watu wamesimulia kutoka kwa Shaykh-ul-Islaam Ibn Taymiyyah ya kwamba kitendo hicho ni Bid´ah.
Jibu: Hii ndio shirki yenyewe. Kuwaomba maiti haja ni shirki. Haijalishi kitu sawa ikiwa ni du´aa au kitu kingine. Mwenye kufanya uvuaji kwa du´aa na kusema kuwa sio shirki ni juu yake alete dalili.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Qaa´idah Jaliylah fiyt-Tawassul wal-Wasiylah (03) http://www.alfawzan.af.org.sa/node/2106
- Imechapishwa: 01/07/2020
Swali: Mtu akienda kwa aliyemo ndani ya kaburi na kumuomba amuombee kwa Allaah inazingatiwa kuwa ni shirki? Baadhi ya watu wamesimulia kutoka kwa Shaykh-ul-Islaam Ibn Taymiyyah ya kwamba kitendo hicho ni Bid´ah.
Jibu: Hii ndio shirki yenyewe. Kuwaomba maiti haja ni shirki. Haijalishi kitu sawa ikiwa ni du´aa au kitu kingine. Mwenye kufanya uvuaji kwa du´aa na kusema kuwa sio shirki ni juu yake alete dalili.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Qaa´idah Jaliylah fiyt-Tawassul wal-Wasiylah (03) http://www.alfawzan.af.org.sa/node/2106
Imechapishwa: 01/07/2020
https://firqatunnajia.com/kuwaomba-haja-maiti-ni-shirki/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)