Swali: Kuna shirika ambalo linachukua mali na kuchinja [´Aqiyqah] badala ya kujifanyia mwenyewe. Je, naweza kuwawakilisha wao wanifanyie hilo?
Jibu: Ndio. Wanachuoni wamefutu kujuzu kwa hilo. Kumpa wakili pesa akakununulia na kukuchinjia kisha ikagawanywa na hili litakuwa linatosheleza kwako. Lakini bora zaidi kuliko hili ni wewe mwenyewe kujinunulia na kujichinjia mwenyewe.
- Mhusika: ´Allaamah Rabiy´ bin Haadiy al-Madkhaliy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Kanda “Ikhlaasw-ud-Diyn lillaah”
- Imechapishwa: 06/10/2020
Swali: Kuna shirika ambalo linachukua mali na kuchinja [´Aqiyqah] badala ya kujifanyia mwenyewe. Je, naweza kuwawakilisha wao wanifanyie hilo?
Jibu: Ndio. Wanachuoni wamefutu kujuzu kwa hilo. Kumpa wakili pesa akakununulia na kukuchinjia kisha ikagawanywa na hili litakuwa linatosheleza kwako. Lakini bora zaidi kuliko hili ni wewe mwenyewe kujinunulia na kujichinjia mwenyewe.
Mhusika: ´Allaamah Rabiy´ bin Haadiy al-Madkhaliy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Kanda “Ikhlaasw-ud-Diyn lillaah”
Imechapishwa: 06/10/2020
https://firqatunnajia.com/kuwakilisha-shirika-au-mtu-akuchinjie-aqiyqah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)