Swali: Baadhi ya watu wakati wanapopatwa na kitu au wakaogofywa na kitu wanaita na kusema:
“Enyi Mitume! Enyi watu wema.”
Ni ipi hukumu ya kusema hivo?
Jibu: Ulinzi unaombwa kutoka kwa Allaah. Huku ni kumshirikisha Allaah (´Azza wa Jall). Haya ni maombi. Du´aa ndio aina kubwa ya ´ibaadah. Amesema (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Du´aa ndio ´ibaadah.”
Bi maana ndio aina kubwa ya ´ibaadah. Haijuzu kumuomba asiyekuwa Allaah (Subhaanahu wa Ta´ala).
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (86) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/NEW.lite_.mp3
- Imechapishwa: 07/07/2018
Swali: Baadhi ya watu wakati wanapopatwa na kitu au wakaogofywa na kitu wanaita na kusema:
“Enyi Mitume! Enyi watu wema.”
Ni ipi hukumu ya kusema hivo?
Jibu: Ulinzi unaombwa kutoka kwa Allaah. Huku ni kumshirikisha Allaah (´Azza wa Jall). Haya ni maombi. Du´aa ndio aina kubwa ya ´ibaadah. Amesema (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Du´aa ndio ´ibaadah.”
Bi maana ndio aina kubwa ya ´ibaadah. Haijuzu kumuomba asiyekuwa Allaah (Subhaanahu wa Ta´ala).
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (86) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/NEW.lite_.mp3
Imechapishwa: 07/07/2018
https://firqatunnajia.com/kuwaita-mitume-na-waja-wema-wakati-wa-shida-na-khofu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)