Swali: Baadhi ya nchi za Kiislamu zinawafanyia tohara watoto wa kike hali ya kuamini kwamba kitendo hicho ni faradhi au kilichopendekezwa.
Jibu: Kufanyia tohara wasichana ni jambo lililopendekezwa kama vile kuwafanyia tohara wavulana pale atapopatikana anayejua vizuri jambo hilo katika madaktari wa kiume au wa kike. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Mambo ya kimaumbile ni matano; kutahiri, kutoa nywele za sehemu ya siri, kupunguza masharubu, kukata kucha na kunyofoa nywele za kwapani.”
Kuna maafikiano juu ya usahihi wake.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (10/46)
- Imechapishwa: 06/08/2021
Swali: Baadhi ya nchi za Kiislamu zinawafanyia tohara watoto wa kike hali ya kuamini kwamba kitendo hicho ni faradhi au kilichopendekezwa.
Jibu: Kufanyia tohara wasichana ni jambo lililopendekezwa kama vile kuwafanyia tohara wavulana pale atapopatikana anayejua vizuri jambo hilo katika madaktari wa kiume au wa kike. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Mambo ya kimaumbile ni matano; kutahiri, kutoa nywele za sehemu ya siri, kupunguza masharubu, kukata kucha na kunyofoa nywele za kwapani.”
Kuna maafikiano juu ya usahihi wake.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (10/46)
Imechapishwa: 06/08/2021
https://firqatunnajia.com/kuwafanyia-tohara-watoto-wa-kike/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)