Swali: Wapo ambao wanafanya istihzai na watu walioshikamana na dini na wanasema kwamba ni wasusuwavu. Je, kunachelewa juu yao kwamba kitendo hichi kikafasirika ni kumfanyia istihzai Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam)?
Jibu: Hapa kunahitajia upambanuzi; akiwachezea shere kwa sababu ya dini yao basi kitendo hichi ni kufuru na kuritadi. Ama akiwafanyia istihzai wao kam wao na si kwa sababu ya dini yao mtu huyu hawi kafiri.
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (11) https://audio.islamweb.net/audio/index.php?page=FullContent&audioid=191491#219817
- Imechapishwa: 23/05/2019
Swali: Wapo ambao wanafanya istihzai na watu walioshikamana na dini na wanasema kwamba ni wasusuwavu. Je, kunachelewa juu yao kwamba kitendo hichi kikafasirika ni kumfanyia istihzai Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam)?
Jibu: Hapa kunahitajia upambanuzi; akiwachezea shere kwa sababu ya dini yao basi kitendo hichi ni kufuru na kuritadi. Ama akiwafanyia istihzai wao kam wao na si kwa sababu ya dini yao mtu huyu hawi kafiri.
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (11) https://audio.islamweb.net/audio/index.php?page=FullContent&audioid=191491#219817
Imechapishwa: 23/05/2019
https://firqatunnajia.com/kuwafanyia-istihzai-watu-wa-dini/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)