Swali: Kutoka barabarani kwa ajili ya kutekeleza manufaa fulani na kuwaangalia wanawake waliovaa uchi mchana wa Ramadhaan kunabatilisha swawm?
Jibu: Hakubatilishi swawm. Hata hivyo ni wajibu kwake kuteremsha macho kiasi na anavyoweza.
- Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa al-Lajnah ad-Daaimah (10/274)
- Imechapishwa: 11/06/2017
Swali: Kutoka barabarani kwa ajili ya kutekeleza manufaa fulani na kuwaangalia wanawake waliovaa uchi mchana wa Ramadhaan kunabatilisha swawm?
Jibu: Hakubatilishi swawm. Hata hivyo ni wajibu kwake kuteremsha macho kiasi na anavyoweza.
Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa al-Lajnah ad-Daaimah (10/274)
Imechapishwa: 11/06/2017
https://firqatunnajia.com/kuwaangalia-wanawake-waliovaa-vibaya-kunaharibu-swawm/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)