Swali: Mwenye kutilia shaka kwamba inafaa kwa baadhi ya watu kutoka nje ya Shari´ah ya Muhammad (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) hukumu yake ni kama yule anayeamini hivo?
Jibu: Ndio. Mwenye kutilia shaka kwamba baadhi ya watu wanaweza kutoka nje ya Shari´ah ya Muhammad na kwamba si lazima kwa baadhi ya watu kumfuata Mtume anakufuru kwa kule tu kutilia shaka.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Nawaaqidh-il-Islaam (09) http://ajurry.com/safrawy/chorohat-elakida/chorohat-nawakid-elislam/charh-salah-fawzan/09.mp3
- Imechapishwa: 24/03/2019
Swali: Mwenye kutilia shaka kwamba inafaa kwa baadhi ya watu kutoka nje ya Shari´ah ya Muhammad (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) hukumu yake ni kama yule anayeamini hivo?
Jibu: Ndio. Mwenye kutilia shaka kwamba baadhi ya watu wanaweza kutoka nje ya Shari´ah ya Muhammad na kwamba si lazima kwa baadhi ya watu kumfuata Mtume anakufuru kwa kule tu kutilia shaka.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Nawaaqidh-il-Islaam (09) http://ajurry.com/safrawy/chorohat-elakida/chorohat-nawakid-elislam/charh-salah-fawzan/09.mp3
Imechapishwa: 24/03/2019
https://firqatunnajia.com/kuwa-na-shaka-kwamba-wapo-watu-ambao-hawalazimiki-kumfuata-mtume/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)