Swali 13: Inajuzu kwa mtu ambaye amenuia Hajj peke yake kuivunja nia yake na kwenda katika ´Umrah? Bi maana baada ya kupita miyqaat?
Jibu: Ndio. Akihirimia Hajj imesuniwa kwake kuifanya ´Umrah ikiwa hakufikiria kuchinja. Ama ikiwa amenuia kuchinja ngamia, ng´ombe au kondoo, basi aendelee na ´ibaadah yake.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: ash-Sharh al-Mumtaaz, uk. 33
- Imechapishwa: 28/09/2018
Swali 13: Inajuzu kwa mtu ambaye amenuia Hajj peke yake kuivunja nia yake na kwenda katika ´Umrah? Bi maana baada ya kupita miyqaat?
Jibu: Ndio. Akihirimia Hajj imesuniwa kwake kuifanya ´Umrah ikiwa hakufikiria kuchinja. Ama ikiwa amenuia kuchinja ngamia, ng´ombe au kondoo, basi aendelee na ´ibaadah yake.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: ash-Sharh al-Mumtaaz, uk. 33
Imechapishwa: 28/09/2018
https://firqatunnajia.com/kuvunja-nia-ya-hajj-peke-yake-na-kwenda-katika-umrah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)