Swali: Kuna mtu amejenga msikiti mdogo kwenye ardhi yake. Baada ya muda fulani akataka kujenga majengo katika ardhi hiyohiyo alipojenga msikiti kwa njia ya kwamba atavunja msikiti na ajenge msikiti mwingine maeneo mengine. Ni ipi hukumu ya kubomoa kwake msikiti huo?
Jibu: Haja ikipelekea kuuhamisha, kwa mfano lengo la kupanua, basi hapana neno kufanya hivo baada ya kurudi serikalini juu ya jambo hilo.
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (21)
- Imechapishwa: 22/08/2021
Swali: Kuna mtu amejenga msikiti mdogo kwenye ardhi yake. Baada ya muda fulani akataka kujenga majengo katika ardhi hiyohiyo alipojenga msikiti kwa njia ya kwamba atavunja msikiti na ajenge msikiti mwingine maeneo mengine. Ni ipi hukumu ya kubomoa kwake msikiti huo?
Jibu: Haja ikipelekea kuuhamisha, kwa mfano lengo la kupanua, basi hapana neno kufanya hivo baada ya kurudi serikalini juu ya jambo hilo.
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (21)
Imechapishwa: 22/08/2021
https://firqatunnajia.com/kuvunja-msikiti-na-kuhamisha-maeneo-mengine/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)